Kwetu Bongo | Online Magazine / Newspaper

Music | Video | Lyrics | Online Jobs | Online Shopping

20% of Hosting for your Website at GoDaddy.com!

Ujio wa Obama ni neema kwa Tanzania

Bernard Membe
by Erick Anam - 24 May 2013

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe amesema ujio wa Rais wa Marekani Barack Obama ni wa umuhimu kwa nchi kwani utaipatia Tanzania zaidi ya dola milioni 800 (sawa na Sh. Trilioni 1.3) kwa ajili ya kukamilisha malengo ya milenia. Membe alizungumza hayo jana katika wa mkutano baina...

Politics

Sugu avuruga Bunge

SUGU

Hotuba ya Kambi ya Upinzani kuhusu Makadirio na Mapato na Matumizi ya Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, jana ilisababisha shughuli za Bunge kusitishwa kwa muda, kwa kile kilichoelezwa kuwa imejaa maneno ya uchochezi. Hotuba hiyo iliyokuwa ikisomwa na Msemaji Mkuu wa Kambi hiyo, Mbunge wa Mbeya Mjini (Chadema), Joseph Mbilinyi, maarufu kama Mr. Sugu, ilisitishwa mara baada ya Mbunge...

Habari za Kimataifa

Waislamu Nigeria wapinga marufuku ya Hijabu

Waislamu nchini Nigeria wamelaani marufuku ya vazi la hijabu katika shule za serikali nchini humo. Ripoti iliyotolewa na Jumuiya ya Wanafunzi wa Kiislamu wa Vyuo Vikuu vya Serikali (Obafemi Awolowo) nchini, imelaani vikali tangazo la kupiga marufuku vazi takatifu la hijabu katika shule zote za Lagos na kuitaja marufuku hiyo kuwa ni mwanzo wa kukanyagwa haki za wanafunzi wa Kiislamu nchini humo. Aidha Waislamu nchini Nigeria wamelalamikia hatua hiyo na kuwataka viongozi wa Lagos kufuta mara moja marufuku hiyo. Kwa upande mwingine Waislamu hao wametoa wito kwa serikali ya Lagos kulaani hatua ya...

Jamii

Ujio wa Obama ni neema kwa Tanzania

Bernard Membe

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe amesema ujio wa Rais wa Marekani Barack Obama ni wa umuhimu kwa nchi kwani utaipatia Tanzania zaidi ya dola milioni 800 (sawa na Sh. Trilioni 1.3) kwa ajili ya kukamilisha malengo ya milenia. Membe alizungumza hayo jana katika wa mkutano baina yake na mabalozi wa nchi za Umoja wa Afrika nchini pamoja na wanahabari jijini Dar es Salaam. Membe...

Biashara

NBC kuanzisha huduma za mikopo kwa wafanyakazi

Baadhi ya wanawake wajasiriamali wa mjini Tanga wakiwa katika semina iliyoandaliwa na Benki ya NBC Kitengo cha Islamic Banki mjini humo jana

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) kupitia kitengo chake cha huduma za kibenki zinazofuata kanuni za kifedha za Kiislamu inatarajia kuanzisha huduma ya mikopo kwa wafanyakazi (Islamic Group Finance)  kabla ya Septemba mwaka huu. Akizungumza wakati wa semina ya siku moja ya wanawake wajasiriamali wa Kiislamu jijini Tanga jana, Mkuu wa Islamic Banking wa NBC, Yassir Masoud, alisema lengo la kuanzishwa...

Health

WHO: Dozi moja tu yatosha kukinga homa ya manjano

VaccineShots

Shirika la afya duniani WHO linasema sasa dozi moja tuu ya chanjo ya homa ya manjano inatosheleza kumpa mtu kinga ya maisha dhidi ya maradhi hayo. Masharti ya sasa ya kimataifa yanahitaji mtu anayesafiri au kuishi katika nchi ambazo zinaathirika na homa ya manjano kupata chanjo mbili ya kwanza na ya marudio miaka kumi baadaye. Kwa mujibu wa shirikahilohakukuwa na ushahidi wa kuthibitisha kwamba chanjo...

Sports

Atletico 2-1 Real Madrid

Atletico-Madrid-Win

Timu ya Atletico Madrid imeshinda kombe la kumi la Uhispania jana Ijumaa baada ya kuichapa vibaya timu pinzani ya Real Madrid kwa magoli 2-1 katika muda wa ziada wakati wa mechi ambayo ilishuhudia kocha Jose Mourinho na Christiano Ronaldo wakiondolewa.   Timu ya Real imekuwa ngumu kufungwa kwa mara 25 katika kipindi kilichopita wakati timu hizo zinapokutana kwa kipindi cha miaka 14 ambapo...

Technology

EU cites Chinese telecoms Huawei and ZTE for trade violations

huawei

Europe’s top trade official for the first time late on Friday officially cited Chinese mobile telecommunications equipment makers Huawei and ZTE Corp for violating anti-dumping and anti-subsidy guidelines. European Union Trade Commissioner Karel De Gucht said he was prepared to launch a formal investigation into anti-competitive behavior by these Chinese companies in order to protect a “strategic”...